Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

DALILI ZA UGONJWA WA SHIGELA

ZIJUE DALILI ZA UGONJWA WA SHIGELA

Dalili za shigella mara nyingi huanza kuonekana kuanzia siku ya 1 hadi ya 5 toka uambukizwe huyu kimelea na kutokea kwa dalili hutegemea na umepata dozi ya kiasi gani ya vimelea;ukipata wengi na dalili hujitokeza mapema kabisa.

1) Homa kali(fever)

2) Maumivu makali ya tumbo,tumbo linakua linakatakata au kunyonga maeneo ya kitovu au chini ya kitovu(abdominal cramps)

3) Kupata mkereketo/hamu ya kwenda chooni iambatanayo na maumivu bila ya hata kua na choo(tenesmus)

4) Kupata choo laini chenye makambakamba au vitu kama makamasi mazito(mucoid diarrhea)

5) Kuharisha damu(Bloody diarrhea)

6) Kuharisha maji(Watery diarrhea):hapa mtu anaweza kuharisha kuanzia mara 8 hadi 10 kwa siku ,kwa hali mbaya mtu huharisha hadi mara 100 kwa siku

7) Kichefuchefu kikali na kutapika


ITAENDELEA

.

#doktamathew #afyaclass

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass