Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Breaking! Dkt. Jones Killimbe Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa TCRA

Breaking! Dkt. Jones Killimbe Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa TCRA.

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA )ambapo amemteua Dkt. Jones A. Killimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa TCRA na pia amemteua Juma Hassan Reli kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass