Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Nateseka sana lakini kubwa naona aibu mno kuomba msaada kila mara- Carina Msanii BongoMovies

Nateseka sana lakini kubwa naona aibu mno kuomba msaada kila mara- Carina Msanii BongoMovies.

Global Tv imefanya mahojiano kwa mara nyingine na Msanii wa Bongo muvi Carina Hussein nyumbani kwao Magomeni jijini Dar es Salaam na kuona kuwa hali ya afya yake inazidi kuwa mbaya.

“Nateseka sana lakini kubwa naona aibu mno kuomba msaada kila mara,ila sina jinsi maana mfuko mmoja wa PTN,unauzwa shilingi 250,000 kwangu mimi ni fedha nyingi maana hatuna tena hata kitu cha kuuza ili fedha zinisaidie” alisema Carina.

Kama unataka kumsaidia Carina, chochote hata nusu ya hela ya kununua mfuko huo wa PTN, waweza kumsaidia kupitia namba;

0769_990045 M-PESA
Carolinhawa Hussein Ebrahim bounin.

0789_095858 Airtel money
FATUMA MIKIDADI maruzuku..

0712_595858 tigopesa
Carolinhawa Hussein Ebrahim bounin

Habari @imeldamtema

Via: Global Tv

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass