Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Kenya: Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga

Kenya: Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga.

Kenya: Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya vimetajwa kuwa chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga kutokea 2017 hadi 2022 nchini Kenya.

Ripoti mpya ya mkaguzi mkuu wa serikali imebaini kuwa chanzo kikuu cha maafa ya watoto ni kuzaliwa kabla kutimiza siku zao, maambukizi na kukosa hewa ya Oxygen na damu kwenye ubongo.

#Ripoti

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass