Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

UGONJWA WA HIJABU(Kiseyeye au Scurvy) Chanzo,dalili na Tiba yake

 HIJABU

• • • •

UGONJWA WA HIJABU(Kiseyeye au Scurvy) Chanzo,dalili na Tiba yake


Ugonjwa wa hijabu ni ugonjwa ambao hutokana na ukosefu wa vitamini C mwilini, ambapo kwa jina lingine hujulikana kama Kiseyeye au kwa kitaalam hujulikana kama Scurvy.


DALILI ZA UGONJWA WA HIJABU NI PAMOJA NA;


1. Mgonjwa kuvuja damu maeneo mbali mbali mwilini kama vile puani,mdomoni, kwenye fizi N.K


2. Mgonjwa kutokea na madoa doa kwenye ngozi, Mdomoni N.K


3. Mgonjwa kupatwa na hali ya uchovu kupita kiasi


4. Mgonjwa kupata maumivu katika viungo mbali mbali vya mwili wake


5. Mgonjwa kupatwa na shida ya meno kucheza cheza 


6. Mgonjwa kupata vidonda mdomoni


7. Mgonjwa kupata vidonda kwenye Ulimi wake


7. Sehemu ya kifua kuingia ndani katikati


MATIBABU YA UGONJWA WA HIJABU


Endapo umeona hizo dalili hapo juu ni vizuri kwenda hosptal kwa ajili ya vipimo zaidi na kuanza tiba.


Pia vipo virutubisho mbali mbali ambavyo huweza kuongeza kwa kiwango kikubwa vitamin C.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.