Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

VIFO KWA WATOTO WENYE SHIDA YA KUZALIWA NA UZITO MDOGO

 UZITO MDOGO

• • • • •

VIFO KWA WATOTO WENYE SHIDA YA KUZALIWA NA UZITO MDOGO


Kwa kawaida mtoto hutakiwa kuzaliwa na uzito kuanzia kilogram 2.5 mpaka 3.5,huo ndyo uzito wa wastani,Hivo basi mtoto ambaye amezaliwa akiwa na uzito mdogo zaidi ya hapo mfano; Kilogram 1.5,1 N.K. Huyo yupo kwenye kundi la watoto waliozaliwa na uzito mdogo, Na endapo kilogram zake zitazidi 3.5 Mfano; mtoto aliyezaliwa na kilogram 4, huyo yupo kwenye kundi la watoto waliozaliwa na uzito mkubwa yaani Big baby.


Je kuna madhara yoyote kwa Mtoto kuzaliwa na Uzito mdogo?


– Tafiti zinaonyesha kwamba zaidi ya asilimia 80% ya watoto million 2.5  duniani wanaofariki kila mwaka walizaliwa na shida ya Uzito mdogo.


KUMBUKA; Moja ya sababu ya mama mjamzito kuzaa mtoto mwenye uzito mdogo sana ni pamoja na; matumizi ya pombe kipindi chake cha ujauzito.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE LILE, TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.