FAIDA ZA TANGO KATIKA AFYA YA MACHO
FAIDA ZA TANGO
• • • • • •
TANGO……..Hili ni moja ya tunda muhimu sana Mbali kusaidia kisafisha figo na magonjwa ya ngozi Tango linamchango mkubwa katika tiba ya MACHO. Tango linamaji mengi, vitamin B Zote ( Vit B complex), vitamin c pamoja na madini..
Tango huondoa allergy na kusafisha macho mekundu na kuyafanya kuwa meupe Kwasababu Tango lina antiinflammatory effects.
Tango huondoa uvimbe kwenye ngozi ya macho
Tango huondoa makunyanzi kwenye ngozi ya macho.
Jinsi ya kutumia.
Kata slice mbili za Tango na weka kwenye kila jicho acha hapo kwa Dakika 10.
Fanya hivi kila siku.
Share!
Dr. Noel