Magonjwa
MAUMIVU YA NYONGA
MAUMIVU
• • • • • •
Maumivu ya nyonga huwa ni maumivu sehemu ya tumbo la chini pamoja na nyonga zenyewe. Kwa wanawake, maumivu ya nyonga yaweza kuwa viashiria au dalili za matatizo yaliyoko kwenye mfumo wa uzazi, mfumo wa mkojo au mfumo wa usagaji chakula au mifupa pia.
NUKUU: Kulingana na chanzo chake, maumivu ya nyonga yanaweza kuwa ya kawaida tu au yakawa makali kabisa yanaweza kuwa ya mfululizo au muda mrefu hivyo Uonapo dalili usizozielewa wahi kituo cha afya kwa vipimo na matibabu zaidi