Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

FAHAMU KUHUSIANA NA TATIZO LA KUCHA KUINGIA NDANI YA NYAMA ZA KIDOLE.

KUCHA+NYAMA

• • • • • •

FAHAMU KUHUSIANA NA TATIZO LA KUCHA KUINGIA NDANI YA NYAMA ZA KIDOLE.

Ingrown toenails ni tatizo ambalo hutokea mara baada ya chembe ya sehemu ya kucha kutoboa na kuingia kwenye ngozi na hivyo kupelekea athari na maambukizi katika kidole. Kidole gumba cha mguu ndio huathirika zaidi na tatizo hili la kucha kuingia ndani ya nyama ya Kidole. 

DALILI ZA TATIZO HILI LA KUCHA KUINGIA NDANI YA NYAMA ZA KIDOLE NI PAMOJA NA;

1. Mtu kupata Maumivu makali kwenye kucha pamoja na kidole

2. Kidole kilichoathirika na shida hii kuvimba

3. Kutoa maji maji kidoleni

4. Tishu zenye rangi nyekundu kuota eneo hilo

VIHATARISHI ZA KUTOKEA KWA NA TATIZO LA KUCHA KUINGIA NDANI YA NYAMA ZA KIDOLE NI PAMOJA;

1. Mtu Kuvaa viatu vinavyobana sana mara kwa mara

2. Mtu Kukata sanaa sehemu ya pembeni ya kucha

3. Matatizo mengine ya ukucha

4. Mtu kupata Ajali zinazohusisha miguu

Mojawapo ya njia ya kuzuia tatizo hili la kucha kuota na kuingia ndani ya nyama ya kidole ni pamoja na kukata kucha vizuri na kutokuvaa viatu vya kubana sana.

Matibabu yake hutegemeana na hatua au ukubwa wa tatizo

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass