Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Unaweza Kupima HIV majibu yakatoka Negative ila bado una maambukizi

Unaweza Kupima HIV majibu yakatoka Negative ila bado una maambukizi,

Unachotakiwa kufahamu ni kwamba Kupima muda huu na Kupata majibu NEGATIVE haikupi uhakika asilimia Mia kwamba wewe huna maambukizi ya Virusi vya Ukimwi,

Hii ni kwa Sababu Ya kipindi kinachojulikana kama WINDOW-PERIOD,

Muda toka unapata maambukizi mpaka ambapo mwili wako unatengeneza antibodies ambazo zitasaidia kipimo chako kutoa Majibu.

Unaweza kufanya Vipimo ukiwa kwenye Kipindi hiki ambacho tayari una maambukizi ya Virusi vya Ukimwi lakini mwili wako bado haujatengeneza antibodies hivo ikafanya kipimo chako kishindwe kudect na kusababisha kutoa Majibu negative wakati una maambukizi, hii tunaita false Negative.

Ndyo maana ukipimwa leo maambukizi ya Virusi vya Ukimwi unashauriwa Kurudi hospital na kupima tena baada ya Miezi 3.

Rejea Pia:

1. Jinsi ya Kusoma Kipimo cha Ukimwi. Soma Hapa

2. Other Source Link

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.