Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Dalili za ugonjwa wa Figo,Madhara na jinsi ya kudhibiti Ugonjwa wa Figo

Dalili za ugonjwa wa Figo,Madhara na jinsi ya kudhibiti Ugonjwa wa Figo

Moja ya viungo muhimu sana katika mwili wa binadamu ni pamoja na Figo, Figo ndyo huhakikisha sumu zote zinaweza kutolea nje ya mwili kwa njia ya Mkojo.

Kwa kawaida binadamu ana Figo mbili upande wa kushoto na kulia, japo kuna watu wachache huzaliwa na Figo moja,

Katika Makala hii tutajadili zaidi kuhusu Dalili za ugonjwa wa Figo,Madhara na jinsi ya kudhibiti Ugonjwa wa Figo.

Zifahamu dalili za ugonjwa wa Figo

  • Kuvimba uso na macho
  • Kuvimba miguu
  • Kukojoa sana hasa wakati wa usiku
  • Uchovu wa mwili
  •  Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida
  • Kuwashwa kwa mwili
  • Mwili kupata michubuko kwa urahisi

Ukiona mojawapo ya dalili hizi, wahi kituo cha huduma za afya kwa ajili ya MSAADA ZAIDI(elimu ya afya,WizaraafyaTz)

DALILI ZA UGONJWA WA FIGO

Zipo Dalili za ugonjwa wa Figo,na dalili hizo za ugonjwa wa Figo ni kama vile;

– Kuvimba mwili mzima kuanzia uso, tumbo na miguu

– Kukosa au kupungua kiasi cha mkojo kwa siku

– Uchovu wa mwili

– Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida

– Kuwashwa kwa mwili

– Mwili kupata michubuko kwa urahisi n.k

“Ukiona dalili hizi wahi kituo cha huduma za afya” endelea Zaidi kusoma hapa kuhusu dalili za ugonjwa wa Figo.

DALILI ZA UGONJWA WA FIGO

je wajua kudhibiti Presha yako husaidia pia kuboresha afya ya Figo?

Ukidhibiti Presha yako inasaidia pia kuleta afya ya Figo, Na Je wajua dalili za Ugonjwa wa Figo?

Hizi hapa ni baadhi ya dalili ambazo huweza kuashiria kwamba Figo ina Tatizo;

1. Mgonjwa wa Figo huvimba maeneo mbali mbali ya mwili kama vile; Kuvimba miguu,mikono,uso au macho.

2. Mgonjwa kuhisi kizunguzungu na hali ya kutapika kila mara

3. Mgonjwa kukosa usingizi pamoja na mwili kuchoka kupita kawaida

4. Mgonjwa kukamaa misuli ya mwili ambapo kwa kitaalam hujulikana kama Muscle cramps

5. Mgonjwa kupoteza kabsa hamu ya kula na kuskia kichefuchefu pamoja na kutapika pia

6. Mgonjwa kuhisi Mkojo kila mara hasa nyakati za Usku

7. Mgonjwa kukojoa mkojo ambao umechanganyika na Damu,hii huweza kuwa ishara pia kwamba kwenye figo kuna shida

8. Mgonjwa kupata maumivu kwenye viungo vya mwili,misuli pamoja na joint

9. Tafiti zinaonyesha pia mgonjwa wa figo huweza kupata shida ya kukosa hedhi kama ni mwanamke

10. Ugonjwa wa figo hupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa mwanaume

11. Ugonjwa wa Figo huweza kusababisha mtu kuwa na matatizo ya presha pia, hasa presha ya kupanda

12. Ugonjwa wa figo huweza kusababisha uwepo wa kiwango kikubwa sana cha Potassium kwenye damu, na pia huweza kusababisha matatizo ya moyo kama vile; Moyo kuvimba N.K

MADHARA YA UGONJWA WA FIGO NI PAMOJA NA;

Haya hapa ni baadhi ya madhara ya ugonjwa wa Figo;

– Kusababisha Kifo

– Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa mwanaume

– Kupatwa na magonjwa ya moyo

– Kupatwa na matatizo ya shinikizo la Damu au Presha

– Mwili kuvimba ikiwemo uso,macho,mikono na miguu pia n.k

Njia za kudhibiti na kutibu ugonjwa wa Figo

Zingatia mambo haya ili Kujikinga na ugonjwa wa Figo;

  1. Hakikisha unafanya Mazoezi,fanya mazoezi angalau kwa muda wa Nusu Saa kila Siku
  2. Epuka matumizi ya Pombe Kupit kiasi
  3. Epuka uvutaji wa Sigara au tumbaku
  4. Dhibiti Uzito wako wa Mwili na epuka Uzito mkubwa
  5. Epuka ulaji wa vyakula vya mafuta mengi,Sukari nyingi au chumvi nyingi
  6. epuka vinjwaji vyenye kiwango kikubwa cha Caffeine kama kahawa n.k
  7. Dhibiti Presha yako ya damu
  8. Dhibiti Sukari yako
  9. Omba Msaada kutoka kwa wataalam wa afya,Ukiona dalili zozote za ugonjwa wa Figo

FAQs:Maswali yanayoulizwa mara kwa mara

Je, ugonjwa wa Figo una Dalili Zipi?

Dalili za Ugonjwa wa Figo ni pamoja na;Kuvimba mwili mzima kuanzia uso,tumbo na miguu,Kukosa au kupungua kiasi cha mkojo kwa siku,Uchovu wa mwili, Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida,Kuwashwa kwa mwili,Mwili kupata michubuko kwa urahisi n.k

Hitimisho

Ugonjwa wa Figo ni miongoni mwa magonjwa ambayo huwapata watu wengi na Kusababisha Vifo Duniani kote,

Ni muhimu sana kufahamu dalili za Ugonjwa wa Figo,Ili kupata Msaada mapema pale unapohisi haupo Sawa,

Zipo Dalili za ugonjwa wa Figo,na dalili hizo za ugonjwa wa Figo ni kama vile;

– Kuvimba mwili mzima kuanzia uso, tumbo na miguu

– Kukosa au kupungua kiasi cha mkojo kwa siku

– Uchovu wa mwili

– Maumivu ya kifua na kupumua kwa shida

– Kuwashwa kwa mwili

– Mwili kupata michubuko kwa urahisi n.k

“Ukiona dalili hizi wahi kituo cha huduma za afya” endelea Zaidi kusoma hapa kuhusu dalili za ugonjwa wa Figo.

KUMBUKA:Zingatia mambo haya ili Kujikinga na ugonjwa wa Figo;

  1. Hakikisha unafanya Mazoezi,fanya mazoezi angalau kwa muda wa Nusu Saa kila Siku
  2. Epuka matumizi ya Pombe Kupit kiasi
  3. Epuka uvutaji wa Sigara au tumbaku
  4. Dhibiti Uzito wako wa Mwili na epuka Uzito mkubwa
  5. Epuka ulaji wa vyakula vya mafuta mengi,Sukari nyingi au chumvi nyingi
  6. epuka vinjwaji vyenye kiwango kikubwa cha Caffeine kama kahawa n.k
  7. Dhibiti Presha yako ya damu
  8. Dhibiti Sukari yako
  9. Omba Msaada kutoka kwa wataalam wa afya,Ukiona dalili zozote za ugonjwa wa Figo

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.