Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

KWA WANAUME WOTE WENYE MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME

KWA WANAUME WOTE WENYE MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME


Kumekua na wimbi kubwa la vijana hasa wa mjini wanasumbuliwa na matatizo ya nguvu za kiume na wengi wao ni vijana wa mjini.


Nimeona wanaume Zaidi ya 2000 kwa mwaka huu pekee wenye matatizo ya KUWAHI KUFIKA KILELENI, HAMU YA MAPENZI IMEPUNGUA, SHAHAWA AU MBEGU CHACHE nk na wote hao wanakua na mambo makuu 7 kwenye hsitoria ya matatizo haya


1)WALIKUA WANAPIGA PUNYETO


2) WANA KIRIBATUMBO/UZITO MKUBWA


3)WAMETUMIA MADAWA KIHOLELA


4)WANA UGOMVI AU KUTOKUELEWANA KWENYE MAHUSIANO


5)KUTOKUJIAMINI KWA MWANAUME (HASA WALE WENYE UUME MDOGO NA MFUPI)


6)KUTOPATA USHIRIKIANO KWA MWENZA WAKO (MWANAMKE AMBAE SIO ROMANTIC)


7)ULEVI NA MATUMIZI YA MADAW YA KULEVYA


Sasa wanaume hawa mpaka wamefika kwangu wameshahangaika sana kwa kutumia madawa ya ajabu ajabu na ambazo HAZITIBU tatizo bali ni kukufariji tu


Wengi wao wamepoteza hela nyingi kwa watu wanaouza madawa mitandaoni na huku mjini wakidhani kwamba ndo suluhisho lakini sio kweli.


Kiukweli ukizunguka utaona madawa mengi sana yanauzwa yakiwa na nembo za uume,mwanaujme na jumbe zinazovutia lakini hazina msaada wowotw,zipo dawa za kunywa na za kupaka kwenye uume ziuzwao na hawa makanjanja wa mitandaoni na mijini.


Ukweli ni kwamba watu hawaelewi sayansi ya mapenzi na hitilafu ziwezazo kutokea kwenye mfumo,pasipo kujua tatizo liko wapi basi ni ngumu kuondoa tatizo lenyewe.


Mfano mtu ana shida kwenye injini ya mwili hypothalamus na mtu anapewa dawa ya kupaka au vdonge vya vitunguu swaumu au suppliments kwa ajil ya kutibu…hahahahaaa


Dawa zote ziuzwazo na hawa makanjanja ni za kukfariji tu lakini haziondoe tatizo lako


EWE MWNAUME TAFUTA MATIBABU SAHIHI YA TATZIZO LAKO KWA KUONANA NA MTAALAM ANAELEWA SAYANSI YA TATIZO LAKO


EWE MWANAMKE MWENYE MWANUME MWENYE TATIZO MSAIDIE ILI APATE MSAADA, NA MFARIJI NA MPE USHIRIKIANO


UKIPATA UJUMBE HUU MTAG NA MWENZAKO ILI AFUNGUKE




KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.