Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

FAIDA YA TUNDA LA PARACHICHI MWILINI

IJUE FAIDA YA TUNDA LA PARACHICHI MWILINI

• • • • • •

Parachichi ni tunda linalofahamika kuwa kama Nyumba ya Vitamin muhim kwa afya ya Binadamu. Parachichi lina Zaidi ya Vitamin 20 zinazofahamika kila siku pamoja na aina mbalimbali za Madini muhimu mwilini.

Zaidi ya yote lina utajiri mkubwa sana wa vitamin E ambayo hufahamika zaidi kama vitamin ya kupambana na ugumba/utasa.Hufaa sana kwa kila rika,lakini zaidi kwa wanawake wanaopitia changamoto kubwa katika kupata watoto.

Hivo basi kuna umuhimu mkubwa wa kutumia Tunda hili la Parachichi katika kumsaidia mtumiaji kuwa na afya bora ya mwili.

Je wewe ni Mlaji wa tunda aina ya Parachichi?

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.