Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MIMBA KUTUNGWA NJE YA MFUKO WA UZAZI(ECTOPIC PREGNANCY)

 Mimba Kutungwa Nje ya Mfuko wa Uzazi?( Ectopic Pregnancy)

   Zaidi ya asilimia 95% ya mimba zinazotungwa nje ya mfuko wa uzazi huwa katika mirija ya fallopiani (Tubal pregnancies) na kwa asilimia zinazobakia mimba inaweza kutungwa sehem kama kwenye ovari na hata kwenye mlango wa uzazi (cervix).


VISABABISHI VYA MIMBA         KUTUNGA NJE YA MFUKO WA UZAZI 

-Uvimbe au maambukizi ndani ya mirija ya fallopiani yanayoweza kuzuia kiinitete kusafiri na kufika katika mfuko wa uzazi.


-Maambukizi ndani ya mfuko wa uzazi yanayo ondoa mazingira rafiki ya utungwaji wa mimba wa kawaida.


-Kovu lililobakia baada ya upasuaji, hasa ule wa mfumo wa uzazi linalosababisha kiinitete au yai kukwama na kushindwa kufika katika mfuko wa uzazi.


-Ukuaji usio wa kawaida(abnormal growth) na matatizo yanayojitokeza wakati wa kuzaliwa(birth defects) husababisha kuwepo kwa mirija ya fallopiani isiyo na umbo sahihi linalokwamisha usafirishaji wa yai au kiinitete hadi kwenye mfuko wa uzazi

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.