VISABABISHI VYA MIMBA KUHARIBIKA
VISABABISHI VYA MIMBA KUHARIBIKA
a) Asilimia 50-70% ya mimba zote zinazoharibika zenyewe wakati wa miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito hutokana na matatizo ya kiasili au vina saba (genetics or chromosome abnormalities).
b) Magonjwa yanayotokana na kinga ya mwili (Collagen Vascular Disease)-Magonjwa haya hutokana na mwili wa binadamu kutengeneza chembechembe za antigen ambazo hushambulia viungo vyake venyewe.
c) Kukosekana kwa uwiano wa vichocheo (Hormonal imbalance).
d) Maambukizi ya magonjwa kama PID,n.k
e)Kuumia mfano kudondoka huweza kupelekea mimba kutoka
f)Matumizi ya dawa kiholela bila ushauri wa wataalam.
g) Uvutaji sigara na unywaji pombe.
h) Sababu za kimazingira kama madhara yatokanayo na sumu ya arsenic, madini ya risasi, dawa za kuua wadudu mashambani (pesticides), formaldehyde nk
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.