News
Usafi wa Mikono huokoa mamilioni ya maisha kila mwaka
Usafi wa Mikono huokoa mamilioni ya maisha kila mwaka:
Usafi wa Mikono huokoa mamilioni ya maisha kila mwaka unapofanywa kwa wakati unaofaa na kwa njia sahihi wakati wa utoaji wa huduma za afya.
Ni hitaji la chini kabisa kwa kila kituo cha afya duniani,
Hakikisha unanawa mikono kila mara kwa wakati sahihi, ili kuzuia magonjwa mbali mbali.