Mnamo Mwaka 1988 polio ilienea katika nchi 125+ na kupooza takriban watoto 1000 kwa siku
Mnamo Mwaka 1988 polio ilienea katika nchi 125+ na kupooza takriban watoto 1000 kwa siku.
Kwa Mujibu wa takwimu za shirika la Afya duniani(WHO);
Mnamo Mwaka 1988 Ugonjwa wa polio Ulienea katika nchi zaidi ya 125+ na kupooza takriban watoto 1000 kwa siku,
Lakini baada ya Utoaji wa chanjo ya Polio kuanza, ilisaidia sana, matukio ya polio yamepungua kwa asilimia 99% tangu wakati huo,
Ingawa bado kazi ya Kuondoa kabsa Ugonjwa wa Polio bado haijakamilika.
NB: Hakikisha Mtoto wako anapata Chanjo ya Kuzuia Ugonjwa wa Polio, Ugonjwa ambayo huweza kusababisha kupooza,pamoja na ulemavu wa kudumu kwa mtu.