Hafla ya kumpongeza mtoto wa Mwajuma Juma Athuman ya kufikisha Gram 1000 (1kg)
Hafla ya kumpongeza mtoto wa Mwajuma Juma Athuman ya kufikisha Gram 1000 (1kg)
Hafla ya kumpongeza mtoto wa Mwajuma Juma Athuman ya kufikisha Gram 1000 (1kg) aliezaliwa na uzito wa Gram 500 na kupata huduma katika kitengo Cha watoto wachanga (NICU) hospital ya wilaya Kiomboi,
Hafla hiyo imehudhuriwa na Mganga Mfawidhi wa hospitali ya Wilaya ya Iramba Dr Abel Mafuru, watumishi wa Kitengo cha watoto wachanga,(NICU) na watumishi wengine wa vitengo mbalimbali vilivyopo katika hospitali ya Wilaya ya Iramba Old Kiomboi
#mtuniafya #Tunaboreshaafya