Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA MTOTO KUNYWA MAJI YA UCHUNGU AU UZAZI

     MAJI YA UZAZI

• • • • •

MADHARA YA MTOTO KUNYWA MAJI YA UCHUNGU AU UZAZI

Moja ya ishara ya tatizo hili ni mtoto kutokulia baada ya kuzaliwa

Baada ya mtoto kunywa maji ya uchungu au uzazi wakati wa kuzaliwa huweza kupata madhara mbali mbali kama vile;

1. Kuziba kwa njia ya hewa ambayo huweza kusababisha tatizo la upungufu wa oxygen kwenye ubongo

2. Kuwa na matatizo ya ubongo

3. Kuwa na tatizo la upumuaji

4. Kuwa na tatizo la mapafu 

5. Maambukizi ya magonjwa mbali mbali hasa baada ya mtoto kunywa maji ya uzazi ambayo yamechanganyika na kinyesi kwa kitaalam hujulikana kama meconium

6. Kupatwa na tatizo la kukakamaa mwili

7. Kulegea viungo mbali mbali vya mwili

8. Kuwa na tatizo la kuharisha 

9. Kuwa na tatizo la kutapika

10. Mtoto kupatwa na tatizo la Pneumonia

N.k

Soma zaidi hapa.!!

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.