Mwanamke wa Kinigeria alia kwa kutoolewa,huku akipambana na spiritual husband anayemjia kila siku
Mwanamke mmoja wa nchini Nigeria alia kwa kutoolewa akiwa na umri wa miaka 39,huku akipigana na mume wa kiroho(Spiritual husband) ambaye anamjia kila siku.
Mwanamke huyo wa Nigeria amepiga kelele na kuandika kwenye mtandao wa TikTok kwa sababu ya kutoolewa mpaka sasa ambapo ana miaka 39.
Mwanamke huyo katika video aliyoshiriki, pia alifichua kuwa “anapigana na mume wa Kiroho yaani spiritual husband.”
Alishiriki video hiyo na nukuu “@39 hakuna mume? Je, ninamtumikia Mungu asiyefaa? Kwa nini yangu ni tofauti? Wewe ni mume wa kiroho badala yake?”
“@39 no husband? Am I serving the wrong God? Why is mine different? Y a spirit husband instead?”
TOA MAONI YAKO HAPA KUHUSU KISA HIKI…!!!!!