Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Wabunge wanaoendelea na mgomo Watapoteza Viti vyao – Uganda

Wabunge wa upinzani nchini Uganda wameapa kuendelea kususia vikao vya bunge hadi pale serikali itakapotoa taarifa kushughulikia malalamiko juu ya masuala kadhaa yakiwemo ukiukaji wa haki za binadamu, kamatakamata ya wapinzaji na hali jumla ya kuzorota kwa utoaji huduma. Licha ya vitisho kutoka kwa spika wa bunge kwamba watapoteza viti vyao iwapo wataendelea na mgomo huo, wabunge hao wamesisitiza kuwa ni haki yao kudai suluhisho kwa maovu na manyanyaso yanayofanywa na vyombo vya dola.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.