Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Changamoto ya Usugu wa Vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa (UVIMADA) nchini Tanzania ni kubwa

“Changamoto ya Usugu wa Vimelea vya Magonjwa dhidi ya Dawa (UVIMADA) nchini Tanzania ni kubwa kuliko hata athari za ugonjwa wa Malaria.

Takwimu za Mwaka 2019 zinaonyesha kuwa watu 12,500 walifariki kutokana na athari za UVIMADA.

Watu 54,000 walifariki kutokana na changamoto zinazohusiana kwa ukaribu na UVIMADA” Prof. Robison Mdegela Mhadhiri kutoka Chuo Kikuu Sokoine cha Kilimo SUA.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.