Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mvua kubwa Morogoro, hivi ndivyo hali ilivyo kwa Sasa

Hivi ndivyo hali ilivyo katika eneo la Manzese A Mkwatani daraja la Mazinyungu Wilayani Kilosa Mkoani Morogoro usiku huu wa manane ambapo mvua kubwa inayoendelea kunyesha imesababisha maji kuzingira kwenye makazi ya Watu na kuharibu miundombinu huku shughuli za usafiri na usafirishaji zikikwama na baadhi ya magari yakiwa mbioni kusombwa na maji.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka tayari yupo eneo la tukio akifuatilia kwa ukaribu ili kuhakikisha madhara hayawi makubwa na ameiambia @AyoTV_ kwamba maji hayo yanayotokea daraja la Mto Mkondoa na daraja la Mazinyungu kwa kasi hadi kwenye makazi ya Watu baada mito kuhama katika njia zake za asili kwenye baadhi ya maeneo.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.