Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Watoto walelewa pamoja na Sokwe

‘Nyumba ilikuwa na fujo sana’

Kunywa chai na sokwe na kutoka na mnyama mwingine kwa ajili matembezi ilikuwa sehemu ya maisha ya kila siku kwa familia ya Graham Clews.

Familia yake ilikuwa na wanyama wengi kiasi kwamba walifungua bustani ya wanyama nyumbani kwao Warwickhire, Uingereza, mwaka wa 1966.

Wanyama wadogo na nyani walilelewa ndani ya nyumba na watoto wa Graham walikua pamoja na watoto wa sokwe.

Ni Karibu miaka 40 sasa baada ya bustani yao ya wanyama kufungwa, sasa familia hiyo imebaki na masanduku ya picha na sehemu za magazeti yenye picha.

 

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.