Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mwaka 2020, takriban wanawake 70,000 Afrika walifariki kwa saratani ya mlango wa kizazi

Mwaka 2020, takriban wanawake 70,000 Afrika walifariki kwa saratani ya mlango wa kizazi.

Dk Matshidiso Rebecca Moeti ni Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika anasema;

Mnamo mwaka wa 2020, takriban wanawake 70,000 katika eneo la Afrika walipoteza maisha yao kwa saratani ya mlango wa kizazi.

Dk Matshidiso anasisitiza Zaidi;

Mwezi huu wa ufahamu wa #Saratani ya Mlango wa Kizazi, nakuomba uendelee kuifahamu,upate taarifa zaidi juu yake, upime, na upate chanjo.
Wacha tuweke historia ya saratani ya shingo ya kizazi.

“In 2020, about 70,000 women in the African region lost their lives to cervical cancer.

This #CervicalCancer awareness month, I urge you to stay informed, get screened, and get vaccinated.
Let’s make cervical cancer history”.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.