Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Watu ambao wapo kwenye Hatari ya kupata FANGASI wa mdomoni

 FANGASI

• • • • • •

Watu ambao wapo kwenye Hatari ya kupata FANGASI wa mdomoni

Hii ni fangasi mdomoni na ulimi(oral candidiasis)

Hali hii husababishwa na kimelea aitwae C. albicans, C. glabrata, C. krusei na C. tropicalis.

Hali hii inawatokea watu wenye upungufu wa kinga mwilini na hata wasio na upungufu wa kinga

Walio kwenye hatari ya kupata fangasi hizi ni

1) Watu wenye kisukari

2)Watu wenye saratani ya damu

3)Watu wenye UKIMWI

4) Watu wanaotumia madawa ya antibiotiki kali na mara kwa mara na kwa muda mrefu

5) Watu wenye meno bandia

6)Watu wenye mdomo mkavu

7)Watu wenye magonjwa ya mafigo ,ini na moyo kufeli

8)Watu wanaopata matibabu ya saratani

9) Watu waliopandikiziwa viungo

Watu wengi wenye hali hii hua hawana dalili za kujionyesha; ugonjwa ukikolea mtu anaweza kupata dalili kama kuhisi mdomo mchungu,ulimi,mdomo kua na utando utando kama maziwa,maumivu ya fizi,midomo na hata kupata maumivu wakati wa kula au kumeza

TIBA

Hali hii inatibika vizuri sana; kama unahisi una hali hii nenda hospitali li uweze kutibiwa na upone kabisa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.