Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mwanamke mmoja ajifungua akiwa na umri wa miaka 57

Mwanamke mmoja ajifungua akiwa na umri wa miaka 57

Mwanamke mmoja nchini Nigeria, Ehis Enaruna, amesherehekea baada ya dadake kujifungua mtoto akiwa na umri wa miaka 57.

Alishiriki picha za mama huyo mpya na mtoto wake kwenye chapisho la Facebook mnamo Jumatano, Februari 7, 2024,

aliandika;

“Hongera Kubwa Kwa Dada Yangu Mrembo Baada ya umri wa miaka 57, Mungu bado anajibu maombi yake. Asante Bwana wangu,” Nanukuu chapisho hilo.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.