Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Nane(8) wafa kwa kula Samaki aina ya Kasa Pemba

Nane(8) wafa kwa kula Samaki aina ya Kasa Pemba.

Watu nane kutoka Familia sita tofauti wamefariki dunia na wengine 34 wanapatiwa matibabu Hospitali Kisiwa Panza, Mkoa wa kusini Pemba Visiwani Zanzibar baada ya kula samaki aina ya kasa jana.

Watu hao baada ya kula kasa walianza kuumwa tumbo, kulegea mwili, kutapika na kuharisha .

Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Mattar Zahor amesema sampuli za vikohozi na damu zimepelekwa kwa Mkemia Mkuu ili kutambua kilichosababisha vifo hivyo.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.