Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Polisi waokoa watoto 251 katika dhehebu tata nchini Zimbabwe

Polisi waokoa watoto 251 katika dhehebu tata nchini Zimbabwe.

Watoto waliookolewa “walikuwa wakitumiwa kufanya shughuli mbalimbali kwa manufaa ya kiongozi wa dhehebu”, taarifa ya polisi ilisema.

Polisi walisema wengi wa watoto hao 251 waliopatikana katika shamba la Ishmael Chokurongerwa, 56 huko Nyabira, hawakuwa na vyeti vya kuzaliwa na hawakuruhusiwa kuhudhuria shule.

Polisi pia waligundua kaburi katika shamba hilo ambapo watu 16 wamezikwa kwa siri, wakiwemo watoto wachanga saba.

Mmoja wa washiriki wa madhehebu hayo aliwaambia waandishi kwamba elimu rasmi shuleni haitakiwi na Mungu “kwa sababu ni kinyume na mafundisho ya Mungu”.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.