Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Kenya: Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga

Kenya: Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga.

Kenya: Uhaba wa vifaa vya msingi, maambukizi na ukosefu wa wataalam wa afya vimetajwa kuwa chanzo kikuu cha ongezeko la vifo vya watoto wachanga kutokea 2017 hadi 2022 nchini Kenya.

Ripoti mpya ya mkaguzi mkuu wa serikali imebaini kuwa chanzo kikuu cha maafa ya watoto ni kuzaliwa kabla kutimiza siku zao, maambukizi na kukosa hewa ya Oxygen na damu kwenye ubongo.

#Ripoti

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.