Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mifugo ya mbwa yaonekana kuwa hatari

Mifugo ya mbwa yaonekana kuwa hatari

Wizara ya kilimo ya Msumbiji imepiga marufuku uagizaji wa mifugo ya mbwa inayoonekana kuwa hatari.

Uamuzi huo unalenga kupambana na mashambulizi mengi ya mbwa ambayo yameripotiwa nchini humo,

Kuumwa na mbwa ni jambo la kawaida Msumbiji ambazo baadhi ya majeraha ni mabaya na wengine wameishia kukatwa viungo na hata vifo.

Mifugo yote iliyopigwa marufuku ambayo tayari ipo nchini lazima isajiliwe na mamlaka ndani ya siku 60.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.