Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Loveness Tarimo aeleza changamoto anazokutana nazo kutokana na mwonekano wake wa Kiume

Loveness Tarimo ni mwanamke mtunisha misuli anayeshikilia nafasi ya Miss Fitness Tanzania na Miss Fitness East Afrika.

Global TV imefanya naye Exclusive Interview ambapo amefunguka changamoto mbalimbali anazokutana nazo kutokana na mwonekano wake na kusisitiza kwamba yeye ni mwanamke na ana jinsia ya kike.

Amesema miongoni mwa changamoto hizo, ni kwenye matumizi ya vyoo vya umma ambapo huwa ni lazima aongozane na mtu mwingine anapoingia kwenye vyoo vya wanawake kwa sababu watu hudhani kama ni mwanaume anayeingiakwenye vyoo vya wanawake.

Source: Globalpublishers

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass