Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA KEMIKALI YA CHROMIUM(majibu)

AFYA TIPS

• • • • • 

MADHARA YA KEMIKALI YA CHROMIUM(majibu)


MAJIBU YA SWALI LILILOPITA?


kemikali ya chromium ambayo hutumiwa sana katika masula ya uchomeleaji wa vyuma(weldering) inapunguza utengenezwaji wa  mbegu (spermatogenesis) na inapelekea kusinyaa na kupunguza uwezo wa pumbu kufanya kazi (testicular atrophy)


wengi mmejaribu vizuri lakini hakuna aliepatia jibu sahihi. Tuendelee kua pamoja kujifunza mengi.. Elimu haina mwisho..

#Dr.mathew



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass