Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

UMUHIMU WA KUFANYA VIPIMO JUU YA MAGONJWA MBALI MBALI

 VIPIMO

• • • • •

UMUHIMU WA KUFANYA VIPIMO JUU YA MAGONJWA MBALI MBALI


Kwa hivi sasa kuna magonjwa mengi, na ambayo huwa na dalili sawa au zinazoingiliana,


Hivo swala la kufanya vipimo kabla ya kuanza tiba ni muhimu sana,


Kumbuka; sio kila homa ni Malaria


fanya vipimo kwanza kujua tatizo linalokusumbua kutokana na dalili unazozipata kabla ya matumizi ya dawa,


epuka matumizi ya dawa hovio pasipo maelekezo kutoka kwa wataalam wa afya



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE kWA NAMBA +255758286584.




Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.