MADINI YA ZINC NA UIMARA WA MBEGU ZA KIUME
MADINI YA ZINC NA UIMARA WA MBEGU ZA KIUME,
Watu wengi hawafahamu kwamba madini ya Zinc ni muhimu sana kwenye ubora wa mbegu za kiume,
nikiwa na maana ya ubora wa mbegu za kiume yaani sperms kwenye vitu hivi hapa;
– Kuongeza Speed ya mbegu za kiume
– Kuongeza kiwango cha uzalishaji wa mbegu za kiume yaani sperm count,na kuepuka matatizo kama vile Low sperm count n.k
– Na hata kuongeza uwezo wa mbegu za kiume katika urutubishaji wa yai yaani Fertility ability.
Madini ya ZINC unaweza kuyapata kwenye vyakula mbali mbali kama vile nyama,samaki,dagaa,mayai n.k
Pata zinc kwa wingi na boresha afya yako ya uzazi.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.