Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

UGONJWA WA SHINIKIZO KUBWA LA DAMU

UGONJWA WA SHINIKIZO KUBWA LA DAMU

Ugonjwa wa shinikizo kubwa la damu – tatizo la kiafya linalotakiwa kuchukuliwa umakini wa juu.

Ugonjwa huu huwa na athari kwenye;

– moyo

– figo

– ubongo n.k

Fuata ushauri wa Daktari wako ikiwemo;

• kuzingatia lishe,

• dawa,

• mazoezi

• Na mitindo bora ya maisha.

Epuka matumizi ya pombe

Epuka matumizi ya Sigara

Epuka kula vyakula vya mufuta sana,

Epuka chumvi nyingi na sukari kwenye vyakula

Punguza uzito mkubwa au Unene

Fanya mazoezi mbali mbali ya mwili N.k

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.