Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA MWANAUME KUMWAGA NJE WAKATI WA KUFANYA MAPENZI(withdrawal method)

MADHARA YA MWANAUME KUMWAGA NJE WAKATI WA KUFANYA MAPENZI(withdrawal method)

Je Njia hii ya mwanaume kumwaga Nje wakati wa kufanya mapenzi ili asimpe mwanamke mimba ni salama?

Njia hii kwa kitaalam hujulikana kama Withdrawal method, na huweza kuwa miongoni mwa njia za uzazi wa mpango ambazo mtu huweza kutumia.

Njia hii haina madhara yoyote kiafya, Japokuwa kuna hasara za kutumia njia hii ili mwanamke asipate mimba

HASARA HIZO NI PAMOJA NA;

– Njia hii haiwezi kuzuia mimba kwa Asilimia 100%, Huhitaji umakini wa hali ya juu na ni ngumu pia kutumia

– Njia hii haiwezi kukukinga na magonjwa mbali mbali ya zinaa kama vile; Kisonono,kaswende,Chlamydia,  au Ukimwi

– Njia hii huweza kuathiriwa na vitu kama kujisahau,kunogewa, hasira,msongo wa mawazo n.k

– Mtumiaji huwa katika hatari ya kusababisha mimba ambazo hazijatarajiwa muda wowote

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.