Dalili za Ugonjwa wa Homa ya Mgunda(Leptospirosis)
Dalili za Ugonjwa wa Homa ya Mgunda(Leptospirosis)
Hizi hapa chini ni Baadhi ya Dalili za Ugonjwa huu wa Homa ya Mgunda ambao kwa Kitaalam hujulikana kama Leptospirosis.
1. Kupata Homa Kali
2. Kuumwa na kichwa au kupata maumivu ya kichwa
3. Kupata maumivu ya misuli
4. Kupata uchovu wa mwili
5. Kupata rangi ya manjano hasa kwenye macho
6. Macho kuvilia Damu
7. Kukohoa
8. Kutokwa na Damu Puani
9. Kupata kichefuchefu,Kutapika,
10. Kuharisha, na Tumbo Kuuma.
11. Mwili kuishiwa na nguvu n.k
SOMA ZAIDI HAPA; Ugonjwa huu wa Homa ya Mgunda