MAGONJWA YA ZINAA-SEXUAL TRANSMITTED DISEASES(STD’s),AINA ZAKE,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE
MAGONJWA YA ZINAA-SEXUAL TRANSMITTED DISEASES(STD’s),AINA ZAKE,DALILI ZAKE PAMOJA NA MATIBABU YAKE
➡️ Ombeni Mkumbwa
? SUMMARY
☑️ SOMO KAMILI
AINA ZA MAGONJWA YA ZINAA-SEXUAL TRANSMITTED DISEASES(STD’s)
- Ugonjwa wa UKIMWI-HIV
- Ugonjwa wa Kisonono au kwa itaalam huitwa Gonorhea
- Ugonjwa wa Kaswende au kwa kitaalam huitwa syphilis
- Ugonjwa wa Homa ya Ini ambapo kaa kitaalam huitwa Hepatitis
- Ugonjwa wa Chlamydia N.k
VISABABISHI VYA MAGONJWA YA ZINAA-SEXUAL TRANSMITTED DISEASES(STD’s)
– Kufanya Mapenzi katika Umri mdogo– Kufanya Ngono zembe pasipo kutumia Kinga Kama vile Kondom– Kufanya mapenzi au kushiriki tendo la Ndoa kinyume na maumbile– Tabia ya kuwa na wapenzi wengi
DALILI ZA MAGONJWA YA ZINAA KWA UJUMLA WAKE-SIGNS AND SYMPTOMS OF SEXUAL TRANSMMITED DISEASES(STD’s)
MADHARA YA KUPATA MAGONJWA YA ZINAA- EFFECTS OF SEXUAL TRANSMMITED DISEASES
- Kukosa mtoto au kushindwa kubeba Mimba kwa mwanamke
- Maumivu wakati wa tendo la Ndoa
- Kukimbiwa na mume kutokana na kutokwa na uchafu au maji maji yenye harufu kali ukeni
- Kifo
MAKUNDI YA WATU AMBAO WAPO KWENYE HATARI YA KUPATA MAGONJWA YA ZINAA- RISK GROUPS FOR SEXUAL TRANSMMITED DISEASES
Matibabu Ya Magonjwa ya Zinaa hutegemea na aina ya Ugonjwa wa zinaa uliokupata,hivo basi kwa Ushauri ni bora kwenda hosptal kama Una dalili zozote ambazo huzielewi ili kupata Msaada kutoka kwa Wataalam wa afya,Ili kupata tiba kutokana na Ugonjwa Husika.
@kwa Ushauri zaidi,Elimu au Tiba tuwasiliane kwa namba +255758286584 piga simu au Tuma Ujumbe utahudumiwa kwa haraka popote ulipo.
#Magonjwayazinaa #afyabora #ushindi