Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

KADI YA KLINIKI KWA MTOTO(tangazo)

 TANGAZO

• • • • •

KADI YA KLINIKI KWA MTOTO(tangazo)

Kuna sehemu kuu mbili katika kadi ya mtoto ya Kliniki ambazo ni kama ifuatavyo;

1. Kuna sehemu ya kadi ya mtoto ya kliniki ambayo hutumika kwa ajili ya chanjo mbali mbali za mtoto kuanzia anapozaliwa mpaka anapofikisha umri wa miaka mitano kama kwenye picha hapa chini

Soma: Chanjo Zote za Mtoto toka anazaliwa mpaka umri wa miaka Mitano

2. Na kuna sehemu ya kadi ya kliniki ya mtoto kwa ajili ya kufwatilia maendeleo ya ukuaji wake, hapa ndipo vipimo kama vya uzito hurekodiwa

KAMA WEWE NI MIONGONI MWA WATU AMBAO KADI HII YA KLINIKI INAKUCHANGANYA HUIELEWI KABSA,NA UNASHINDWA KUFWATILIA CHANJO ZOTE ZA MTOTO TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

1.Soma: Mwanamke Kubeba Mimba Kabla ya Miaka 35

2.Soma: Chanjo Zote za Mtoto toka anazaliwa mpaka umri wa miaka Mitano

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.