Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
afyatipsMagonjwamagonjwa ya wanaumemagonjwa ya wanawakemagonjwa ya watoto

KUKOROMA USINGIZINI-MAMBO 8 YA KUFANYA KUZUIA KUKOROMA USINGIZINI

MAMBO 8 YA KUFANYA KUZUIA USIKOROME WAKATI UKIWA UMELALA

1. Lalia ubavu na sio chali

2. Usilalie mto kwani huinua kichwa chako na kuongeza kukoroma

3. Unaweza inua nguzo za mbele(unapoweka kichwa) za kitanda ili kupainua kidogo(hii ni bora tofauti na kulalia mto)

4. Punguza uzito

5. Punguza/acha kabisa kunywa pombe na kutumia vidonge vya usingizi kwani husababisha ku-relax kwa soft palate

6. Epuka uvutaji sigara kwani husababisha soft palate kuvimba

7. Mwambie unaelala naye akushtue kidogo kama anakuamsha, hii husaidia wewe kuacha kukoroma

8. Ikishindikana, Mnunulie unaye lala naye ‘earplugs’ za masikioni avae nyakati za kulala

(NA afyabongo) #afyaclass

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass