Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

KUTOKWA NA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI

 KUTOKWA NA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI.

➡️ (imeandikwa na Ombeni Mkumbwa)

WANAWAKE wengi husumbuliwa na tatizo la kutokwa na uchafu sehemu za siri, lakini hawajui sababu ni nini! na wala hawajui cha kufanya.


Vitu muhimu vya kuangalia katika uchafu huo ni pamoja na; aina ya uchafu unaotoka,mwepesi au mzito,una rangi gani?,una harufu n.k

KWA ASILIMIA KUBWA UCHAFU KUTOKA SEHEM ZA SIRI HUCHANGIWA NA MAAMBUKIZI(INFECTION) YA MAGONJWA MBALI MBALI KAMA FANGASI,PID,

LAKINI PIA MATATIZO KAMA KUZIBA MIRIJA YA UZAZI.

Uchafu huo unaweza kuwa na rangi nyingi tofauti kulingana na aina ya ugonjwa au maambukizi.Mfano;cream,maziwa,njano,n.k NA kwa wakati mwingine huambatana na miwasho sehem za Siri.

.

JUKUMU LANGU NI KUKUELIMISHA,KUKUSHAURI NA KUKUSAIDIA KATIKA TATIZO LAKO, 

@Mawasiliano +255758286584.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.