Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

TETENASI NA AINA ZA VIDONDA AMBAVYO TETENASI HUWEZA KUSHAMBULIA KWA HARAKA

TETENASI

Hatari ya Kupata Tetenasi ambapo kwa kingereza ni TETENUS huweza kuwepo endapo Mtu atachomwa na kitu chenye Ncha kali kama Msumari,kukatwa na Bati,Chupa n.k. Kwa kawaida mtu akichomwa na Vitu kama Hivi huenda hosptal na Kupata Chanjo ya Kuzuia tetenasi..

AINA ZA VIDONDA AMBAVYO TETENASI HUWEZA KUSHAMBULIA KWA HARAKA

1.Kidonda ambacho  hakipo katika hali ya usafi

.

.

2.Kidonda kilicho chimbika sana.

.

3.Kidonda kilichotokana na moto (kuungua) chenye mzunguko wa damu chache.

.

4.Kidonda kilichotokana na Upasuaji uliofanywa navifaa ambanyo siyo salama (havikuoshwa vizuri na kutunzwa mbali na mazingira ambayo bacteria wanaweza kukaa na kuzaliana)

.

5.Kidonda kilichotokana na mtu kujikata na kitu chenye ncha kali kama vile Bati, kujichoma na Msumali au kuumia kutokana na ajari ya Gari, Pikipki n.k.

.

6.Kwa watoto wachanga katika kitovu kilichokatwa ambacho bado hakijapona na pia vifaa ambavyo siyo salama vilivyotumika kukata kitovu.

.

7.Kwa mwanamke aliyetoa mimba au kujifungua kwa kutumia vifaa ambavyo sio salama

.

8.Kidonda kinachotoa usaa au majimaji


KUMBUKA; Endapo kwa bahati mbaya umechomwa na vitu vywenye ncha kali kama Misumari,kukatwa na mabati,Chupa n.k, usikae tu nyumbani Nenda hosptal kapate chanjo ya Kuzuia Tetenasi


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!




Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.