Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

AFYA BORA KWA MTOTO

 Afya bora kwa mtoto ipo mikononi mwako.Kuna mambo muhimu lazima uyafanye kwa mtoto kuanzia tu pale anapozaliwa.

.

Jambo la kwanza kabsa ni kuhakikisha unaanza kumnyonyesha ndani ya lisaa la kwanza mara tu baada ya kujifungua

.

Unyonyeshaji huo unaenda mpaka miez sita pasipo kumchanganyia kitu kingine chochote,Baada ya miezi sita anza kumchanganyia mtoto vyakula pamoja na maziwa ya mama

.

Hiyo nayo inaenda mpaka mtoto akifika miaka miwili,hapo utakuwa umezingatia unyonyeshaji bora kwa mtoto wako,na kumbuka maziwa ya mama ndo kinga kubwa kwa mtoto dhidi ya magonjwa

.

Jambo lingine ni kuhakikisha mtoto anapata chanjo zote muhimu kuanzia anapozaliwa mpaka anapofikisha umri wa miaka mitano

.

Usafi kwa mtoto ni jambo la muhimu kwa mtoto pia, na kuzingatia swala la kutokuweka kitu chochote kwenye kitovu cha mtoto mpaka kidongoke chenyewe

.

Pia zingatia dalili zote za hatari kwa mtoto ili uzionapo tu uhakikishe mtoto anapata msaada wa kitaam,mfano mtoto kugeuka rangi na kuwa manjano,mtoto kupatwa na degedege,mtoto kutokunyonya kabsa,n.k

#mtoto 

#afya 

#ombenimkumbwa

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.