Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

FAHAMU FANGASI UKENI INA DALILI ZIPI?

 DALILI ZA FANGASI UKENI


Miongoni mwa magonjwa ambayo huwasumbua sana wanawake ni pamoja na hili la Fangasi wa sehemu za Siri. Japo wengine hata dalili za fangasi pia hawazijui.


Fangasi ambao husumbua sana maeneo ya siri kwa Mwanamke ni aina Ya CANDIDA ALBICANS, Fangasi hawa hushambulia sana sehemu za Siri za mwanamke au UKE. 


DALILI ZA FANGASI SEHEMU ZA SIRI


– Kupatwa na miwasho sehemu za Siri au kuwashwa ukeni


– Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya pamoja na rangi kama Maziwa ya Mgando


– Ngozi inayozunguka sehemu za siri au ngozi ya mashavu ya uke kuwa nyekundu


– Kupatwa na vidonda pamoja na michubuko sehemu za Siri

– N.K


Kw ushauri zaidi,elimu au Tiba tuwasiliane kwa namba +255758286584.




Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.