Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

FAHAMU HASARA YA VYAKULA VILIVOSINDIKWA (PROCESSED FOODS)

FAHAMU HASARA YA VYAKULA VILIVOSINDIKWA (PROCESSED FOODS)

➡️ Processed Foods

1)Vina Upungufu mkubwa wa nyuzinyuzi


2)Vina Upungufu mkubwa wa omega-3 fatty acid


3)Vimesheheni Mafuta mabaya(trans fats) kwa kiasi kikubwa


4)Vina Upungufu mkubwa wa vitamini


5) Vimesheheni amino acid nyingi mbaya kama zile ambazo zipo kw Wanyama tu(nyama nyekundu)


6)Vina omeg-6 fatty acid kwa wingi ambayo ni hatari kwa afya

7)Vina sukari kwa wingi


8)Vimejaa kemikali nyingi za kutunza hizo bidhaa na si nzuri kwa afya zetu


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!





Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.