Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

JE UNAYAFAHAMU MADHARA YA KUVUJA DAMU AU KUBLID MDA MREFU?

 JE UNAYAFAHAMU MADHARA YA KUVUJA DAMU AU KUBLID MDA MREFU?

 mfano kuna wanawake ambayo wanaweza kublid hata MWEZI mzima mfululizo.


.
Kupatwa na kizungu zungu cha mara kwa mara, kuona giza, na kupata pia maumivu ya kichwa


.
Moyo kwenda Mbiy o   ambapo huambatana pia na maumivu ya kichwa
.
Maumivu ya kwenye mifupa,kifua,na kwenye joint pia
.
Kuishiwa na Pumzi wakati wa kupumua na hata mda mwingine ngozi kuanza kubadilika rangi na kuwa na rangi kama ya manjano au  pale or yellow
.
Kupata hali ya ubaridi sana kwenye mikono pamoja na miguu
.
Uchovu wa kupita kiasi ambapo huambatana na hali ya kuwa na usingizi

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KUPITIA NAMBA +255758286584

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.