Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

KUSHIRIKI TENDO LA NDOA KARIBU KABSA NA SIKU YA OVULATION

OVULATION

• • • • • •

Kushiriki tendo la ndoa karibu kabisa na siku ya ovulation, au siku yenyewe ya ovulation huongeza asilimia za kupata ujauzito. Ikiwa mwanamke atashiriki tendo la ndoa siku 6 na zaidi kabla ya siku ya ovulation, nafasi ya kupata ujauzito inakaribia 0%

 

Ikiwa atashiriki tendo la ndoa siku 4 kabla ya siku ya ovulation (ambayo itakuwa siku ya 5),nafasi ya kupata ujauzito ni walau 10%. Asilimia hizi huendelea kuongezeka kadri siku ya ovulation inavyokaribia ambayo hufikia hadi 30%. 

DALILI ZAKE 

Kuna dalili kuu 4 zinazotoa ishara ya kutolewa kwa yai (ovulation) ambazo ni Ute,Joto la mwili,maumivu pamoja na ishara zinaoonekana kwenye mlango wa kizazi. 

Dalili zingine ni

 

• Kuongezeka sana kwa hamu ya kushiriki tendo la ndoa

• Maumivu ya nyonga

• Kuwasha na kuvimba kwa matiti

• Kuongezeka kwa uwezo wa kunusa na kutofautisha harufu mbalimbali za vitu

• Sehemu ya nje ya uke (mashavu) au uke wenyewe kuonekana umevimba kwa baadhi ya wanawake

 

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.