MADHARA YANAYOWEZA KUSABABISHWA NA TATIZO HILI LA OSTEOPOROSIS
OSTEOPOROSIS
• • • • • •
MADHARA YANAYOWEZA KUSABABISHWA NA TATIZO HILI LA OSTEOPOROSIS
Maumivu makali ya mifupa ktk Magoti, Uti wa mgongo, mabegani, kifuani au ktk nyonga ~ kupinda mgongo hasa wakati wa uzeeni ~ Kuvunjika mifupa kwa urahis..
MATIBABU YA OSTEOPOROSIS
~ Kula kwa wingi chakula chenye kiasi kikubwa cha vitamin D na chenye madini ya Calcium mfano Maziwa, Ubuyu, Moringa Oleifera leaves n.k.
~ Tumia dawa za asili zinazofanya homoni za estrogens kuwa sawia (kwa wanawake )
~ Tumia dawa zitakazokusaidia kukupatia madini ya calcium ya kutosha na itakayo weleza kuimarisha mifupa.
~ Mafuta ya samaki na samaki wa maji baridi kwa wingi upate fatty acid.
~ mafuta ya nazi ni. Mazuri kwa mifupa.