Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

SABABU ZA MTU KUPATA KITAMBI

KITAMBI

• • • • • 

SABABU ZA MTU KUPATA KITAMBI


Zipo sababu mbali mbali ambazo huweza kusababisha mtu kupata kitambi, Leo tugusie baadhi ya Sababu hizo;


  • Kukaa Mda mrefu au kufanya kazi za kukaaa kwa Mda mrefu pasipo kufanya Mazoezi yoyote
  • Kula vyakula vyenye Wanga mwingi na kwa kiasi kikubwa
  • Unywaji wa pombe Mara kwa mara kwani pombe ina kiwango kingi cha sukari
  • Kula vyakula Jamii ya mafuta mafuta Kwa wingi


ANGALIZO:

Kitambi sio kuwa na afya Nzuri kama watu wengi wanavyodhani, Kama una kitambi jitahidi;

  1. Kufanya Mazoezi
  2. Kuepuka kula vyakula vywenye wanga mwingi na kwa kiasi kikubwa
  3. Epuka kula vyakula vya mafuta sana
  4. Epuka unywaji wa pombe


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.